Ajira

Nafasi za Kazi Wilaya ya Kyela 2026

Nafasi za Kazi Wilaya ya Kyela 2026

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (08) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:- Ajira Mpya zilizotangazwa Kyela 1. Dereva – Nafasi […]

Continue Reading »

Filed in Ajira by on February 22, 2026
Nafasi za Kazi Mji Njombe 2026

Nafasi za Kazi Mji Njombe 2026

Hili hapa tangazo la Mkurugenzi wa Halmashuri ya Mji Njombe anawatangazia watanzania wenye sifa za kuomba nafasi za kazi sita (6) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao. Ajira Mpya zilizotangazwa Mwanga 1. Dereva – Nafasi 6 Download PDF hapa […]

Continue Reading »

Filed in Ajira by on February 12, 2026
Kuitwa kwenye Usaili Uhamiaji 2026

Kuitwa kwenye Usaili Uhamiaji 2026

Leo tarehe 09 Februari, 2026, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana wote walioomba Ajira kupitia Mfumo wa e-Ajira wa Uhamiaji kutembelea akaunti zao za maombi ya ajira kupitia tovuti ya Uhamiaji https://www.immigration.go.tz na kwa barua pepe zao ili kupokea taarifa na maelekezo ya tarehe na eneo la kufanya usaili kwa waliochaguliwa. Wasailiwa wote wanatakiwa kuwa […]

Continue Reading »

Filed in Ajira by on February 9, 2026

Taasisi

Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC)

Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC)

Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini, maarufu kama CAMARTEC, ni taasisi ya serikali yenye jukumu la kufanya utafiti, kubuni, na kuendeleza zana na teknolojia zinazofaa kwa kilimo na maendeleo ya vijijini nchini Tanzania. Kituo kinalenga kuongeza tija ya kilimo, kupunguza kazi ngumu kwa wakulima, na kuboresha maisha ya wananchi wa vijijini. Historia ya […]

Continue Reading »

Filed in Taasisi by on January 8, 2026
Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO)

Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO)

Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania, maarufu kama TIRDO, ni taasisi ya serikali yenye jukumu la kufanya utafiti wa kisayansi na kiteknolojia unaolenga kukuza maendeleo ya viwanda nchini Tanzania. Shirika linaweka mkazo katika ubunifu, teknolojia, na matumizi ya rasilimali za ndani kwa maendeleo ya uchumi wa viwanda. Historia ya Shirika TIRDO ilianzishwa kwa […]

Continue Reading »

Filed in Taasisi by on January 8, 2026
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)

Hospitali ya Taifa Muhimbili, maarufu kama MNH, ni hospitali ya rufaa ya kitaifa na taasisi ya kufundishia tiba nchini Tanzania. Hospitali hii inatoa huduma za afya za kibingwa na ubingwa bobezi, sambamba na mafunzo na utafiti wa kitabibu kwa maendeleo ya sekta ya afya. Historia ya Hospitali MNH ilianzishwa kama hospitali kuu ya taifa na […]

Continue Reading »

Filed in Taasisi by on January 8, 2026