Nafasi za Kazi Chuo cha Mbeya MUST 38
Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi ama ajira mpya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya, maarufu kama MUST, ni chuo kikuu cha umma nchini Tanzania kinachotoa elimu ya juu, kufanya utafiti, na kukuza ubunifu katika nyanja za sayansi na teknolojia kwa maendeleo ya taifa.
Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo
| S/N | Jina La Tangazo | Idadi Ya Nafasi | Jina La Mwajiri |
|---|---|---|---|
| 1 | Msaidizi Wa Mafunzo (Usalama Wa Mtandao) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 2 | Msaidizi Wa Maktaba | Nafasi 4 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 3 | Msaidizi Wa Mafunzo (Ufugaji Wa Majini) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 4 | Msaidizi Wa Mafunzo (Sayansi Ya Afya Ya Mazingira) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 5 | Msaidizi Wa Mafunzo (Botania Ya Misitu) | Nafasi 2 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 6 | Mhadhiri Msaidizi (Misitu) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 7 | Mhadhiri Msaidizi (Baiolojia) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 8 | Msaidizi Wa Mafunzo (Elektroniki Na Otomatiki) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 9 | Msaidizi Wa Mafunzo (Sayansi Ya Data) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 10 | Mhadhiri Msaidizi (Usimamizi Wa Rasilimali Watu) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 11 | Mhadhiri Msaidizi (Sheria) | Nafasi 2 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 12 | Mhadhiri Msaidizi (Masoko Na Ujasiriamali) | Nafasi 2 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 13 | Mhadhiri Msaidizi (Uchumi Wa Kilimo) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 14 | Mhadhiri Msaidizi (Sayansi Ya Mifugo) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 15 | Msaidizi Wa Mafunzo (Uhandisi Wa Chakula) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 16 | Msaidizi Wa Mafunzo (Tiba Ya Mifugo) | Nafasi 2 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 17 | Msaidizi Wa Mafunzo (Usanifu Wa Mandhari) | Nafasi 3 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 18 | Mhadhiri Msaidizi (Usanifu Wa Mandhari) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 19 | Msaidizi Wa Mafunzo (Ubunifu Wa Ndani) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 20 | Msaidizi Wa Mafunzo (Sayansi Ya Ardhi Na Uhandisi Wa Madini) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 21 | Msaidizi Wa Mafunzo (Uhandisi Wa Mitambo) | Nafasi 2 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 22 | Mhadhiri Msaidizi (Uhandisi Wa Ujenzi) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 23 | Msaidizi Wa Mafunzo (Usimamizi Wa Mifumo Ya Taarifa Za Afya) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 24 | Mhadhiri Msaidizi (Uhandisi Wa Umeme) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 25 | Msaidizi Wa Mafunzo (Ununuzi Na Usimamizi Wa Ugavi) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 26 | Mhadhiri Msaidizi (Uhandisi Wa Mitambo) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
| 27 | Mhadhiri Msaidizi (Biashara Ya Kilimo) | Nafasi 1 | Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (MUST) |
Jinsi ya Kutuma maombi
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
Vice Chancellor,
Mbeya University of Science and Technology,
P.O. Box 131 – Mbeya
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 12 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Soma zaidi:
Tags: Chuo cha Mbeya