Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kwa kushirikiana na kampuni ya “Dalba Consulting Group” inapenda kuwakaribisha Watanzania wenye sifa stahiki kutuma maombi kwa ajili ya kujaza nafasi 300 za Uuguzi zilizotolewa na Wizara ya Afya ya nchini Saudi Arabia kama ilivyoelezwa katika jedwali hapa chini:- […]
Continue Reading »
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Kwa niaba ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawatangazia Watanzania wote wenye sifa kuomba nafasi za kazi zilizo wazi. Tunakaribisha wataalamu wenye uwezo wa hali ya juu, wanaolenga matokeo, wanaojituma, wenye uadilifu, […]
Continue Reading »
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (08) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:- Ajira Mpya zilizotangazwa Kyela 1. Dereva – Nafasi […]
Continue Reading »