Nafasi za Kazi COSTECH 2026

Filed in Ajira by on January 1, 2026

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi ama ajira mpya Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia, maarufu kama COSTECH, ni taasisi ya serikali inayoratibu na kusimamia maendeleo ya sayansi, teknolojia, na ubunifu nchini Tanzania. Tume inalenga kutumia sayansi na teknolojia kama chachu ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya taifa.

Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo

S/NJina La TangazoIdadi Ya NafasiJina La Mwajiri
1Afisa Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano Daraja La Pili (Mtengenezaji Wa Mifumo)Nafasi 1Tume Ya Taifa Ya Sayansi Na Teknolojia (COSTECH)
2Dereva Daraja La PiliNafasi 1Tume Ya Taifa Ya Sayansi Na Teknolojia (COSTECH)
3Afisa Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano Daraja La Pili (Msimamizi Wa Mitandao)Nafasi 1Tume Ya Taifa Ya Sayansi Na Teknolojia (COSTECH)

Jinsi ya Kutuma maombi

Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:

Secretary,
Presidents Office, Public Service Recruitment Secretariat,
P.O. Box 2320,
Mahakama Street, Tambukareli,
Dodoma.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 11 Januari, 2026.

Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.

Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).

Bonyeza hapa kudownload PDF

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.

Soma zaidi:

Tags:

Comments are closed.