Nafasi za Kazi NAOT 2026

Filed in Ajira by on January 11, 2026

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi au ajira mpya kutoka Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 142 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.

Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo

S/NJina La Tangazo La KaziIdadi Ya NafasiMwajiri
1Mkaguzi Daraja La II121Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
2Afisa Habari Daraja La II (Ubunifu Wa Michoro)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
3Afisa Habari Daraja La II (Uandishi Wa Habari)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
4Mkaguzi Daraja La II (Udaktari Wa Mifugo)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
5Mkaguzi Daraja La II (Famasi)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
6Mkaguzi Daraja La II (Afya Ya Jamii)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
7Mkaguzi Daraja La II (Ustawi Wa Jamii)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
8Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Maji Na Usafi Wa Mazingira)2Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
9Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Umwagiliaji Na Rasilimali Za Maji)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
10Mkaguzi Daraja La II (Sayansi Ya Taarifa Za Kijiografia)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
11Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Vifaa Tiba)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
12Mkaguzi Daraja La II (Uthaminishaji Ardhi)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
13Mkaguzi Daraja La II (Mipango Ya Matumizi Ya Ardhi)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
14Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Umeme)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
15Mkaguzi Daraja La II (Ukadiriaji Ujenzi)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
16Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Ujenzi)2Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
17Mkaguzi Daraja La II (Usanifu Wa Majengo)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
18Mkaguzi Daraja La II (Sayansi Ya Takwimu Bima)1Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)
19Mkaguzi Daraja La II (Menejimenti Ya Kodi)2Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT)

Jumla Ya Nafasi Zote: 142

Nukuu Ya Kipekee:
“Ukaguzi Madhubuti Ni Msingi Wa Uwajibikaji Na Maendeleo Endelevu Ya Taifa.

Jinsi ya Kutuma maombi

Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:

KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
S. L. P. 2320, DODOMA.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 24 Januari, 2026.

Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.

Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).

Bonyeza hapa kudownload PDF

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.

Soma zaidi:

Tags:

Comments are closed.