Nafasi za Kazi NECTA

Filed in Ajira by on December 29, 2025

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi (ajira) kutoka Baraza la Mitihani la Taifa la Tanzania, maarufu kama NECTA, ni taasisi ya serikali inayohusika na usimamizi wa mitihani ya taifa nchini Tanzania. NECTA ina jukumu la kuhakikisha mitihani inafanyika kwa viwango vinavyokubalika kitaifa na kimataifa, kwa kuzingatia haki, usawa, na ubora wa elimu.

Ajira mpya zilizotangazwa na Maelezo

S/NJina La TangazoIdadi Ya NafasiJina La Mwajiri
1Msaidizi Wa Uchapishaji Daraja La PiliNafasi 5Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
2Afisa Mitihani Daraja La Pili (Utalii Na Ukarimu)Nafasi 1Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
3Afisa Mitihani Daraja La Pili (Utekelezaji Wa Muziki)Nafasi 1Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
4Afisa Mitihani Daraja La Pili (Sanaa Ya Uchoraji)Nafasi 1Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
5Afisa Mitihani Daraja La Pili (Sanaa Za Maonyesho)Nafasi 1Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
6Afisa Mitihani Daraja La Pili (Elimu Ya Michezo Na Mazoezi Ya Mwili)Nafasi 1Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
7Afisa Mitihani Daraja La Pili (Sayansi Ya Uchumi Wa Nyumbani)Nafasi 2Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
8Afisa Mitihani Daraja La Pili (Sayansi Ya Kilimo)Nafasi 2Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
9Afisa Mitihani Daraja La Pili (Sayansi Ya Kompyuta)Nafasi 1Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)
10Afisa Mitihani Daraja La Pili (Huduma Na Mauzo Ya Chakula Na Vinywaji)Nafasi 1Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA)

Jinsi ya Kutuma maombi

Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:

Secretary,
Presidents Office, Public Service Recruitment Secretariat,
P.O. Box 2320,
Mahakama Street, Tambukareli,
Dodoma.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 11 Januari, 2026.

Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.

Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).

Bonyeza hapa kudownload PDF

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.

Tags:

Comments are closed.