Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kwa kushirikiana na kampuni ya “Dalba Consulting Group” inapenda kuwakaribisha Watanzania wenye sifa stahiki kutuma maombi kwa ajili ya kujaza nafasi 300 za Uuguzi zilizotolewa na Wizara ya Afya ya nchini Saudi Arabia kama ilivyoelezwa katika jedwali hapa chini:-
1. Wauguzi – Nafasi 300
Soma zaidi:
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Kwa niaba ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawatangazia Watanzania wote wenye sifa kuomba nafasi za kazi zilizo wazi.
Tunakaribisha wataalamu wenye uwezo wa hali ya juu, wanaolenga matokeo, wanaojituma, wenye uadilifu, wachapakazi na waliohitimu ipasavyo kujaza jumla ya nafasi ishirini na nne (24) kama zilivyoainishwa hapa chini.
1. Msaidizi wa Afisa Hali ya Hewa Daraja la II – Nafasi 22
2. Mhadhiri Msaidizi (Ununuzi na Usimamizi wa Ugavi) – Nafasi 2
Soma zaidi:
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (08) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:-
1. Dereva – Nafasi 6
2. Mwandishi Mwendesha Ofisi – Nafasi 2
Soma zaidi:
Pata orodha kamili ya vyuo vikuu Tanzania vilivyosajiliwa na TCU, ikijumuisha vyuo vya umma na binafsi. Angalia majina, makao makuu na maelezo mafupi ya kila chuo.
Katika kuchagua chuo kikuu, ni muhimu kupata taarifa sahihi na zilizothibitishwa. Makala hii inakupa orodha ya vyuo vikuu Tanzania vilivyosajiliwa na kutambuliwa na Tanzania Commission for Universities (TCU). Taarifa hizi zitakusaidia kufanya uamuzi sahihi kuhusu masomo ya shahada, stashahada au uzamili.
Hivi ni vyuo vikuu vinavyomilikiwa na Serikali ya Tanzania:
Hivi ni vyuo vikuu vinavyomilikiwa na taasisi au mashirika binafsi:
Ili kuhakikisha chuo unachochagua kimesajiliwa rasmi:
Idadi hubadilika kulingana na usajili mpya na hadhi ya vyuo. Kwa kawaida kuna zaidi ya vyuo vikuu 40 vilivyosajiliwa na TCU (ikijumuisha vya umma na binafsi).
Ubora hutegemea programu, miundombinu, wahadhiri na ithibati ya TCU—sio umiliki pekee.
Maombi mengi hupitia mifumo ya udahili ya vyuo husika au kupitia mwongozo wa TCU kila mwaka wa masomo.
Kupata orodha ya vyuo vikuu Tanzania 2026 ni hatua ya kwanza katika safari ya elimu ya juu. Hakikisha unachagua chuo kilichosajiliwa na Tanzania Commission for Universities (TCU) na programu iliyoidhinishwa. Uamuzi sahihi leo unaweza kuathiri mafanikio yako ya baadaye.
Kwa taarifa za kina na zilizosasishwa, tembelea tovuti rasmi ya TCU au chuo husika.
Soma zaidi:
Kozi za Kusoma Mwanafunzi wa Kombi ya HGK History, Geography and Kiswahili (HGK) Awe amefaulu masomo yote kwenye tahasusi.
Soma zaidi:
Kozi za Kusoma Mwanafunzi wa Kombi ya HGK History, Geography and Kiswahili (HGK) Awe amefaulu masomo yote kwenye tahasusi.
Soma zaidi:
Hili hapa tangazo la Mkurugenzi wa Halmashuri ya Mji Njombe anawatangazia watanzania wenye sifa za kuomba nafasi za kazi sita (6) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.
1. Dereva – Nafasi 6
Soma zaidi:
Leo tarehe 09 Februari, 2026, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana wote walioomba Ajira kupitia Mfumo wa e-Ajira wa Uhamiaji kutembelea akaunti zao za maombi ya ajira kupitia tovuti ya Uhamiaji https://www.immigration.go.tz na kwa barua pepe zao ili kupokea taarifa na maelekezo ya tarehe na eneo la kufanya usaili kwa waliochaguliwa.
Wasailiwa wote wanatakiwa kuwa na namba ya ombi la Ajira (Application ID) kama ilivyotumwa kwenye akaunti na barua pepe ya mwombaji, Kitambulisho chenye picha yake (Mfano, Kitambulisho cha Taifa, Kitambulisho cha Mkazi, Kadi ya Mpiga Kura, Pasipoti au Kitambulisho chochote kinachomtambulisha kwa sasa) pamoja na Kalamu ya wino wa bluu.
Kwa wasailiwa wenye fani za TEHAMA, udereva na ufundi magari wajiandae kwa usaili wa vitendo (Practical Examination). Aidha, Wasailiwa wote watatakiwa kujigharamia chakula, usafiri na malazi wakati wote wa zoezi la usaili. Kwa changamoto/maulizo wasilisha kupitia: ajira@immigration.go.tz.
Limetolewa na;
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji
09 Februari, 2026
Soma zaidi:
Leo, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana wote walioomba Ajira kupitia Mfumo wa e-Ajira wa Uhamiaji kutembelea akaunti zao za maombi ya ajira kupitia tovuti ya Uhamiaji https://www.immigration.go.tz na kwa barua pepe zao ili kupokea taarifa na maelekezo ya tarehe na eneo la kufanya usaili kwa waliochaguliwa.

Wasailiwa wote wanatakiwa kuwa na namba ya ombi la Ajira (Application ID) kama ilivyotumwa kwenye akaunti na barua pepe ya mwombaji, Kitambulisho chenye picha yake (Mfano, Kitambulisho cha Taifa, Kitambulisho cha Mkazi, Kadi ya Mpiga Kura, Pasipoti au Kitambulisho chochote kinachomtambulisha kwa sasa) pamoja na Kalamu ya wino wa bluu.
Kwa wasailiwa wenye fani za TEHAMA, udereva na ufundi magari wajiandae kwa usaili wa vitendo (Practical Examination). Aidha, Wasailiwa wote watatakiwa kujigharamia chakula, usafiri na malazi wakati wote wa zoezi la usaili. Kwa changamoto/maulizo wasilisha kupitia: ajira@immigration.go.tz
Limetolewa na;
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji
09 Februari, 2026
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga anatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tisa (09) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.
1. Dereva – Nafasi 5
2. Mwandishi Mwendesha Ofisi – Nafasi 4
Soma zaidi: