Nafasi za Kazi IAA 2025

Filed in Ajira by on December 29, 2025

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi (ajira) Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA), maarufu kama IAA, ni taasisi ya elimu ya juu ya umma nchini Tanzania inayotoa mafunzo ya kitaaluma na kitaalamu katika nyanja za uhasibu, biashara, usimamizi, teknolojia ya habari, na sayansi za jamii.

Chuo cha IAA inalenga kuzalisha wahitimu wenye ujuzi wa vitendo, maadili, na uwezo wa kukidhi mahitaji ya soko la ajira la kisasa.

Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo

S/NJina La TangazoIdadi Ya NafasiJina La Mwajiri
1Mhadhiri Msaidizi (Uongozi Na Utawala Bora)Nafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
2Mhadhiri Msaidizi (Masomo Ya Utalii Na Ukarimu)Nafasi 1Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
3Mhadhiri Msaidizi (Lugha Ya Kichina)Nafasi 1Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
4Mhadhiri Msaidizi (Lugha Ya Kifaransa)Nafasi 1Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
5Mhadhiri Msaidizi (Usimamizi Wa Kumbukumbu Na Taarifa)Nafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
6Mhadhiri Msaidizi (Uandishi Wa Programu Za Kompyuta)Nafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
7Mhadhiri Msaidizi (Usalama Wa Mtandao)Nafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
8Mhadhiri Msaidizi (Usimamizi Wa Rasilimali Watu)Nafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
9Mhadhiri Msaidizi (Usimamizi Wa Ununuzi Na Ugavi)Nafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
10Mhadhiri Msaidizi (Uhasibu Na Fedha)Nafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
11Mhadhiri Msaidizi (Bima Na Hifadhi Ya Jamii)Nafasi 1Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
12Mhadhiri Msaidizi (Usimamizi Wa Wanyamapori)Nafasi 1Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
13Dereva Daraja La PiliNafasi 5Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
14Msaidizi Wa Mafunzo (Bima)Nafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
15Mhudumu Wa Mapokezi Daraja La PiliNafasi 2Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
16Dereva Daraja La PiliNafasi 5Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)

Jinsi ya Kutuma maombi IAA

Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:

Secretary,
Presidents Office, Public Service Recruitment Secretariat,
P.O. Box 2320,
Mahakama Street, Tambukareli,
Dodoma.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 11 Januari, 2026.

Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.

Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).

Bonyeza hapa kudownload PDF

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.

Soma zaidi:

Tags:

Comments are closed.