Nafasi za Kazi TAA 2025

Filed in Ajira by on December 29, 2025

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi (ajira) Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA), ni wakala wa serikali unaohusika na usimamizi, uendeshaji, na maendeleo ya viwanja vya ndege vinavyomilikiwa na serikali nchini Tanzania. TAA inalenga kuhakikisha usafiri wa anga unakuwa salama, wenye ufanisi, na unaochangia maendeleo ya uchumi na jamii.

Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo

S/NJina La TangazoIdadi Ya NafasiJina La Mwajiri
1Msimamizi Wa Kuongoza Ndege Uwanjani Daraja La PiliNafasi 23Mamlaka Ya Viwanja Vya Ndege Tanzania (TAA)
2Msaidizi Wa Uchapishaji Daraja La Pili (Uhandisi Wa Mitambo)Nafasi 1Taasisi Ya Elimu Tanzania (TIE)
3Msaidizi Wa Uchapishaji Daraja La Pili (Uhandisi Wa Umeme)Nafasi 1Taasisi Ya Elimu Tanzania (TIE)
4Msaidizi Wa Uchapishaji Daraja La Pili (Sanaa Ya Michoro Na Teknolojia Ya Uchapishaji)Nafasi 2Taasisi Ya Elimu Tanzania (TIE)

Jinsi ya Kutuma maombi IAA

Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:

Secretary,
Presidents Office, Public Service Recruitment Secretariat,
P.O. Box 2320,
Mahakama Street, Tambukareli,
Dodoma.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 11 Januari, 2026.

Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.

Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).

Bonyeza hapa kudownload PDF

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.

Soma zaidi:

Tags:

Comments are closed.