Ajira
Nafasi za Kazi Manispaa ya Tabora 2026
Hili hapa tangazo la ajira mpya au nafasi za kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (05) katika Manispaa hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:- Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo 1. Msaidizi wa […]
Nafasi za Kazi MDAs & LGAs 912
Hili hapa tangazo la ajira mpya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 912 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili; Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo S/N Jina La Tangazo La Kazi Idadi […]
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026
Nafasi 332 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026. Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali […]
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026
Nafasi 246 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry). Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za […]
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics)
Nafasi 504 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics). Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za […]
Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni […]
Nafasi za Kazi za Mkataba Wilaya ya Tunduru 2026
Hili hapa tangazo rasmi la ajira mpya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, chini ya Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), linalohusu nafasi za kazi za Mkataba kwa wananchi wa Tanzania wenye sifa stahiki. Taarifa za Jumla za Tangazo: Ajira Mpya Zilizotangazwa Wazoaji Taka – Nafasi 06 Sifa za […]
Nafasi za Kazi NAOT 2026
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi au ajira mpya kutoka Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 142 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili. Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo S/N […]
Walioitwa Kwenye Usaili NHC 2026
Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa Kwenye Usaili National Housing Corporation(NHC) 2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya taasisi mbalimbali za Serikali anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba ajira kuwa usaili unatarajiwa kuanza rasmi kuanzia tarehe 18 Januari 2026 hadi 14 Februari 2026. Baada ya usaili, waombaji watakaofaulu […]
Walioitwa Kwenye Usaili NOAT 2026
Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) 2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya taasisi mbalimbali za Serikali anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba ajira kuwa usaili unatarajiwa kuanza rasmi kuanzia tarehe 18 Januari 2026 hadi 14 Februari 2026. Baada ya […]