Ajira

Nafasi za Kazi Manispaa ya Tabora 2026

Filed in Ajira by on January 14, 2026
Nafasi za Kazi Manispaa ya Tabora 2026

Hili hapa tangazo la ajira mpya au nafasi za kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (05) katika Manispaa hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:- Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo 1. Msaidizi wa […]

Continue Reading »

Nafasi za Kazi MDAs & LGAs 912

Filed in Ajira by on January 14, 2026
Nafasi za Kazi MDAs & LGAs 912

Hili hapa tangazo la ajira mpya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 912 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili; Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo S/N Jina La Tangazo La Kazi Idadi […]

Continue Reading »

Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026

Filed in Ajira by on January 14, 2026
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026

Nafasi 332 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026. Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali […]

Continue Reading »

Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026

Filed in Ajira by on January 14, 2026
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026

Nafasi 246 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry). Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za […]

Continue Reading »

Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics)

Filed in Ajira by on January 14, 2026
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics)

Nafasi 504 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics). Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za […]

Continue Reading »

Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026

Filed in Ajira by on January 13, 2026
Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026

Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni […]

Continue Reading »

Nafasi za Kazi za Mkataba Wilaya ya Tunduru 2026

Filed in Ajira by on January 13, 2026
Nafasi za Kazi za Mkataba Wilaya ya Tunduru 2026

Hili hapa tangazo rasmi la ajira mpya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, chini ya Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), linalohusu nafasi za kazi za Mkataba kwa wananchi wa Tanzania wenye sifa stahiki. Taarifa za Jumla za Tangazo: Ajira Mpya Zilizotangazwa Wazoaji Taka – Nafasi 06 Sifa za […]

Continue Reading »

Nafasi za Kazi NAOT 2026

Filed in Ajira by on January 11, 2026
Nafasi za Kazi NAOT 2026

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi au ajira mpya kutoka Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 142 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili. Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo S/N […]

Continue Reading »

Walioitwa Kwenye Usaili NHC 2026

Filed in Ajira by on January 8, 2026
Walioitwa Kwenye Usaili NHC 2026

Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa Kwenye Usaili National Housing Corporation(NHC) 2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya taasisi mbalimbali za Serikali anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba ajira kuwa usaili unatarajiwa kuanza rasmi kuanzia tarehe 18 Januari 2026 hadi 14 Februari 2026. Baada ya usaili, waombaji watakaofaulu […]

Continue Reading »

Walioitwa Kwenye Usaili NOAT 2026

Filed in Ajira by on January 8, 2026
Walioitwa Kwenye Usaili NOAT 2026

Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) 2026 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya taasisi mbalimbali za Serikali anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba ajira kuwa usaili unatarajiwa kuanza rasmi kuanzia tarehe 18 Januari 2026 hadi 14 Februari 2026. Baada ya […]

Continue Reading »