Ajira
Nafasi za Kazi Wilaya ya Kilolo 8
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuomba nafasi (08) za kazi baada ya kupokea kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.
Ajira Mpya zilizotangazwa Kilolo
1. Dereva Daraja la II – Nafasi 8
Soma zaidi:
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics)
- Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
Jinsi ya Kutuma maombi Handeni
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
Mkurugenzi Mtendaji (W),
Halmashauri ya Wilaya Kilolo,
S.L.P. 2324,
KILOLO.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 22 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Rejea:
Ajira Mpya 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
Ajira Mpya 1,500 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) walimu wa sekondari kada ya walimu.
Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea katika Shule za Sekondari zilizo chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kupitia mradi huu, OWM-TAMISEMI inatangaza nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea kwa Shule za Sekondari zenye uhitaji mkubwa, kwa kuzingatia Utaratibu wa Upangaji wa Walimu wa Shule za Sekondari (Secondary Teacher Allocation Protocol – S-TAP).
Wigo wa Nafasi Zinazotangazwa
Nafasi hizi zinalenga walimu wenye sifa katika maeneo yafuatayo:
- Sayansi na Teknolojia (STEM)
- Masomo ya Amali (Vocational Subjects)
- Masomo ya Biashara (Business Studies)
Watanzania wenye sifa wanakaribishwa kuwasilisha maombi ya nafasi hizi elfu moja na mia tano (1,500) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
Majukumu ya Jumla ya Mwalimu wa Kujitolea
Mwalimu wa Kujitolea atawajibika kutekeleza majukumu yafuatayo kwa mujibu wa miongozo ya elimu:
- Maandalizi ya Kitaaluma
- Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa.
- Zana za Ufundishaji na Ujifunzaji
- Kutengeneza na kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia kwa kuzingatia mitaala husika.
- Ufundishaji na Tathmini
- Kufundisha, kufanya tathmini za wanafunzi na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya kitaaluma.
- Usimamizi wa Mahudhurio
- Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi shuleni na darasani.
- Malezi na Ustawi wa Wanafunzi
- Kusimamia malezi ya wanafunzi kiakili, kimwili na kiroho, pamoja na kutoa ushauri nasaha na unasihi.
- Ushauri wa Kitaalamu
- Kutoa ushauri wa kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya elimu shuleni.
- Usimamizi wa Mali za Shule
- Kusimamia na kutunza vifaa na mali za shule kwa uadilifu na uwajibikaji.
- Majukumu Mengine ya Shule
- Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na mahitaji na majukumu ya shule.
Soma zaidi:
Nafasi za Kazi Manispaa ya Tabora 2026
Hili hapa tangazo la ajira mpya au nafasi za kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (05) katika Manispaa hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:-
Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo
1. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi 5
Soma zaidi:
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics)
- Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
Jinsi ya Kutuma maombi Handeni
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
Mkurugenzi wa Manispaa,
Manispaa ya Tabora,
4 Barabara ya Kiwanja cha Ndege,
S.L.P 174,
45182 TABORA
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 22 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Rejea:
Nafasi za Kazi MDAs & LGAs 912
Hili hapa tangazo la ajira mpya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 912 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili;
Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo
| S/N | Jina La Tangazo La Kazi | Idadi Ya Nafasi | Mwajiri |
|---|---|---|---|
| 1 | Mwalimu Daraja La III C (Hisabati) | 709 | MDAs Na LGAs |
| 2 | Mwalimu Daraja La III C (Fizikia) | 201 | MDAs Na LGAs |
| 3 | Mlezi Wa Watoto Msaidizi | 2 | MDAs Na LGAs |
Jumla Ya Nafasi Zote: 912
Soma zaidi:
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics)
- Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
Nukuu Ya Kipekee:
“Uwekezaji Katika Elimu Na Malezi Ni Uwekezaji Wa Moja Kwa Moja Katika Mustakabali Wa Taifa.”
Jinsi ya Kutuma maombi Handeni
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
S. L. P. 2320,
Mtaa wa Mahakama, Tambukareli,
DODOMA.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 28 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026
Nafasi 332 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026.
Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea katika Shule za Sekondari zilizo chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kupitia mradi huu, OWM-TAMISEMI inatangaza nafasi 332 za Ualimu wa Kujitolea kwa Shule za Sekondari zenye uhitaji mkubwa, kwa kuzingatia Utaratibu wa Upangaji wa Walimu wa Shule za Sekondari (Secondary Teacher Allocation Protocol – S-TAP).
Wigo wa Nafasi Zinazotangazwa
Nafasi hizi zinalenga walimu wenye sifa katika maeneo yafuatayo:
- Sayansi na Teknolojia (STEM)
- Masomo ya Amali (Vocational Subjects)
- Masomo ya Biashara (Business Studies)
Watanzania wenye sifa wanakaribishwa kuwasilisha maombi ya nafasi hizi 332 kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia
- Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Biolojia kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali; au
- Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Biolojia pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali; au
- Stashahada ya Ualimu yenye somo la kufundishia la Biolojia kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali.
Soma zaidi:
- Nafasi za Kazi za Mkataba Wilaya ya Tunduru 2026
- Nafasi za Kazi NAOT 2026
- Walioitwa Kwenye Usaili NHC 2026
- Walioitwa Kwenye Usaili NOAT 2026
- Walioitwa Kwenye Usaili CAMARTEC 2026
- Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026
- Walioitwa Kwenye Usaili VETA 2026
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026
Nafasi 246 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry).
Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea katika Shule za Sekondari zilizo chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kupitia mradi huu, OWM-TAMISEMI inatangaza nafasi 246 za Ualimu wa Kujitolea kwa Shule za Sekondari zenye uhitaji mkubwa, kwa kuzingatia Utaratibu wa Upangaji wa Walimu wa Shule za Sekondari (Secondary Teacher Allocation Protocol – S-TAP).
Wigo wa Nafasi Zinazotangazwa
Nafasi hizi zinalenga walimu wenye sifa katika maeneo yafuatayo:
- Sayansi na Teknolojia (STEM)
- Masomo ya Amali (Vocational Subjects)
- Masomo ya Biashara (Business Studies)
Watanzania wenye sifa wanakaribishwa kuwasilisha maombi ya nafasi hizi mia mbili arobaini na sita (246) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
- Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Kemia kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali; au
- Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Kemia pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali; au
- Stashahada ya Ualimu yenye somo la kufundishia la Kemia kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali.
Soma zaidi:
Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics)
Nafasi 504 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics).
Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea katika Shule za Sekondari zilizo chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kupitia mradi huu, OWM-TAMISEMI inatangaza nafasi 504 za Ualimu wa Kujitolea kwa Shule za Sekondari zenye uhitaji mkubwa, kwa kuzingatia Utaratibu wa Upangaji wa Walimu wa Shule za Sekondari (Secondary Teacher Allocation Protocol – S-TAP).
Wigo wa Nafasi Zinazotangazwa
Nafasi hizi zinalenga walimu wenye sifa katika maeneo yafuatayo:
- Sayansi na Teknolojia (STEM)
- Masomo ya Amali (Vocational Subjects)
- Masomo ya Biashara (Business Studies)
Watanzania wenye sifa wanakaribishwa kuwasilisha maombi ya nafasi hizi mia tano na Nne (504) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
- Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Fizikia kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali; au
- Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Fizikia pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali; au
- Stashahada ya Ualimu yenye somo la kufundishia la Fizikia kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali.
Soma zaidi:
Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP)
Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea katika Shule za Sekondari zilizo chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kupitia mradi huu, OWM-TAMISEMI inatangaza nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea kwa Shule za Sekondari zenye uhitaji mkubwa, kwa kuzingatia Utaratibu wa Upangaji wa Walimu wa Shule za Sekondari (Secondary Teacher Allocation Protocol – S-TAP).
Wigo wa Nafasi Zinazotangazwa
Nafasi hizi zinalenga walimu wenye sifa katika maeneo yafuatayo:
- Sayansi na Teknolojia (STEM)
- Masomo ya Amali (Vocational Subjects)
- Masomo ya Biashara (Business Studies)
Watanzania wenye sifa wanakaribishwa kuwasilisha maombi ya nafasi hizi elfu moja na mia tano (1,500) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
Majukumu ya Jumla ya Mwalimu wa Kujitolea
Mwalimu wa Kujitolea atawajibika kutekeleza majukumu yafuatayo kwa mujibu wa miongozo ya elimu:
- Maandalizi ya Kitaaluma
- Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa.
- Zana za Ufundishaji na Ujifunzaji
- Kutengeneza na kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia kwa kuzingatia mitaala husika.
- Ufundishaji na Tathmini
- Kufundisha, kufanya tathmini za wanafunzi na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya kitaaluma.
- Usimamizi wa Mahudhurio
- Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi shuleni na darasani.
- Malezi na Ustawi wa Wanafunzi
- Kusimamia malezi ya wanafunzi kiakili, kimwili na kiroho, pamoja na kutoa ushauri nasaha na unasihi.
- Ushauri wa Kitaalamu
- Kutoa ushauri wa kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya elimu shuleni.
- Usimamizi wa Mali za Shule
- Kusimamia na kutunza vifaa na mali za shule kwa uadilifu na uwajibikaji.
- Majukumu Mengine ya Shule
- Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na mahitaji na majukumu ya shule.
Soma zaidi:
Nafasi za Kazi za Mkataba Wilaya ya Tunduru 2026
Hili hapa tangazo rasmi la ajira mpya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, chini ya Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), linalohusu nafasi za kazi za Mkataba kwa wananchi wa Tanzania wenye sifa stahiki.
Taarifa za Jumla za Tangazo:
- Mwajiri: Halamashauri ya Wilaya ya Tunduru
- Idara: Usafi wa Mazingira
- Aina ya Ajira: Mkataba
- Idadi ya Nafasi: Nafasi 06
- Tarehe ya Tangazo: 13 Januari 2026
- Kumb. Na: TDC.L.40/31/53
Ajira Mpya Zilizotangazwa
Wazoaji Taka – Nafasi 06
Sifa za Mwombaji
Mwombaji wa nafasi hizi anatakiwa awe na sifa zifuatazo:
- Awe raia wa Tanzania
- Awe na afya njema
- Awe mwenye akili timamu
- Awe na uwezo wa kusoma na kuandika
- Awe na bidii ya kazi pamoja na uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi bila kusimamiwa
- Awe na nidhamu na uaminifu
- Awe ni mtu mwenye uwezo wa kushirikiana na wengine
- Awe tayari kufanya kazi za usafi ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru kama atakavyo pangiwa na mwajiri
- Awe na kitambulisho kimoja wapo kati ya:
- Kitambulisho cha Uraia (NIDA)
- Mpiga Kura
- Asiwe mtumishi wa umma kwa ngazi yoyote ile
Kazi na Majukumu ya Mwombaji
- Kupakia taka kwenye gari
- Kufanya kazi ya usafi katika maeneo atakayopangiwa na mwajiri wake
Malipo kwa Mwezi
- Kibarua cha Kupakia Taka: Tshs 170,000 kwa mwezi
- Kibarua cha Kufagia: Tshs 160,000 kwa mwezi
Nyaraka za Kuambatanisha
Waombaji wote wanatakiwa kuambatanisha nakala zifuatazo:
- Nakala ya Kitambulisho cha NIDA au Mpiga Kura
- Barua ya Utambulisho kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji
Jinsi ya Kutuma Maombi
Maombi yote yaandikwe na kuwasilishwa kwa:
Mkurugenzi Mtendaji
Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
S.L.P 2/5
Tunduru – Ruvuma
Mwisho wa Kutuma Maombi
19 Januari 2026
Saa 9:30 Alasiri
Soma zaidi:
Nafasi za Kazi NAOT 2026
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi au ajira mpya kutoka Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 142 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.
Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo
| S/N | Jina La Tangazo La Kazi | Idadi Ya Nafasi | Mwajiri |
|---|---|---|---|
| 1 | Mkaguzi Daraja La II | 121 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 2 | Afisa Habari Daraja La II (Ubunifu Wa Michoro) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 3 | Afisa Habari Daraja La II (Uandishi Wa Habari) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 4 | Mkaguzi Daraja La II (Udaktari Wa Mifugo) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 5 | Mkaguzi Daraja La II (Famasi) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 6 | Mkaguzi Daraja La II (Afya Ya Jamii) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 7 | Mkaguzi Daraja La II (Ustawi Wa Jamii) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 8 | Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Maji Na Usafi Wa Mazingira) | 2 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 9 | Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Umwagiliaji Na Rasilimali Za Maji) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 10 | Mkaguzi Daraja La II (Sayansi Ya Taarifa Za Kijiografia) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 11 | Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Vifaa Tiba) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 12 | Mkaguzi Daraja La II (Uthaminishaji Ardhi) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 13 | Mkaguzi Daraja La II (Mipango Ya Matumizi Ya Ardhi) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 14 | Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Umeme) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 15 | Mkaguzi Daraja La II (Ukadiriaji Ujenzi) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 16 | Mkaguzi Daraja La II (Uhandisi Wa Ujenzi) | 2 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 17 | Mkaguzi Daraja La II (Usanifu Wa Majengo) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 18 | Mkaguzi Daraja La II (Sayansi Ya Takwimu Bima) | 1 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
| 19 | Mkaguzi Daraja La II (Menejimenti Ya Kodi) | 2 | Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT) |
Jumla Ya Nafasi Zote: 142
Nukuu Ya Kipekee:
“Ukaguzi Madhubuti Ni Msingi Wa Uwajibikaji Na Maendeleo Endelevu Ya Taifa.
Jinsi ya Kutuma maombi
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
S. L. P. 2320, DODOMA.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 24 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Soma zaidi:
- Nafasi za Kazi Wilaya ya Kilwa 2025
- Nafasi za Kazi Wilaya ya Ludewa 2025
- Walioitwa Kazini Bunge la Tanzania 2025
- Walioitwa Kazini Ajira Portal 2025
- Nafasi za Kazi Shirika la ndege Air Tanzania 2025
- Walioitwa Kwenye Usaili NHC 2026
- Walioitwa Kwenye Usaili NOAT 2026
- Walioitwa Kwenye Usaili TIRDO 2026
- Walioitwa Kwenye Usaili Hospitali ya Taifa Muhimbili 2026