Ajira
Nafasi za Kazi Ofisi ya Msajili wa Hazina 2026
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Kwa niaba ya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawaalika Watanzania wenye sifa stahiki, uwezo wa juu, wanaolenga matokeo, wanaojituma binafsi, wenye uadilifu na ari ya kazi kuomba kujaza nafasi ishirini na sita (26) za kazi zilizo wazi kama zilivyoainishwa […]
Nafasi za Kazi Wilaya ya Bahi 2026
Hili hapa tangazo nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Bahi anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (08) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao. Ajira Mpya zilizotangazwa Bahi 1. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi […]
Nafasi za Kazi Wilaya ya Nachingwea 2026
Hili hapa tangazo nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na tano (15) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao Ajira Mpya zilizotangazwa Nachingwea 1. Msaidizi wa […]
Nafasi za Kazi Wilaya ya Songea 2026
Hili hapa tangazo nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (5) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao. Ajira Mpya zilizotangazwa Songea 1. Msaidizi wa Kumbukumbu – […]
Fani na Taaluma Zinazohitajika Kujitolea JKT 2026
Fani na Taaluma Zinazohitajika Kujitolea Kuomba Nafasi za Mafunzo kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa JKT 2026. Kipaumbele kitatolewa kwa vijana wenye sifa zifuatazo: Ngazi ya Diploma Ngazi ya Shahada (Bachelor Degree) Aidha, vijana wenye vipaji vya michezo mbalimbali wanahimizwa pia kutuma maombi kupitia Mikoa yao. Bonyeza hapa kudownload PDF Soma zaidi:
Utaratibu wa Kuomba Mafunzo ya JKT 2026
Utaratibu wa Kuomba Nafasi za Mafunzo kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa JKT 2026 Utaratibu wa vijana kuomba na hatimaye kuchaguliwa kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea unaratibiwa na Ofisi za Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambako mwombaji anaishi. Vijana wanashauriwa kuwasiliana na ofisi hizo kwa maelekezo ya kina kuhusu namna ya kuwasilisha maombi […]
Nafasi za Kujiunga na Jeshi JKT 2026
Nafasi za Kujiunga na Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kwa kujitolea mwaka 2026 Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yanawatangazia Vijana wote wa Kitanzania Bara na Visiwani kuhusu fursa za kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea kwa mwaka 2026. Tangazo hili limetolewa na Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, […]
Nafasi za Kazi Wilaya ya Buchosa 15,01,2026
Hili hapa tangazo la Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Buchosa anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (08) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao. Download PDF hapa Soma zaidi:
Nafasi za Kazi Wilaya ya Kilolo 8
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuomba nafasi (08) za kazi baada ya kupokea kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao. Ajira Mpya […]
Ajira Mpya 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
Ajira Mpya 1,500 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) walimu wa sekondari kada ya walimu. Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa […]