Nafasi za Kazi Idara ya Uhamiaji Zanzibar 2026
Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi au ajira mpya kutoka Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Idara ya Uhamiaji Tanzania anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa waombaji wa Zanzibar wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi Nne (04), kama ilivyoainishwa katika tangazo hili;
Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo
1. Mhasibu Daraja la II – Nafasi 3
2. Msaidizi wa Hesabu Daraja la II – Nafasi 1
Jinsi ya Kutuma maombi Uhamiaji
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
S. L. P. 2320,
Mtaa wa Mahakama, Tambukareli,
DODOMA.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 11 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.zanajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Soma zaidi”
- Nafasi za Kazi Wilaya ya Handeni 2026
- Ajira za Konstebo wa Uhamiaji – Desemba 2025
- Fursa 500 za Ajira kwa Madereva Pikipiki UAE (2026)
- Nafasi za Kazi Wilaya ya Songwe 2025
- Nafasi za Kazi Shirika la ndege Air Tanzania 2025
- Nafasi za Kazi UDOM 2025
- Walioitwa Kazini Ajira Portal 2026
- Malipo ya Kujitolea Serikalini 2026
- Mwongozo wa Kujitolea Serikalini 2026
- Mwongozo wa Kujitolea Katika Utumishi wa Umma 2026
- Nafasi za Kazi Wilaya ya Gairo 2026
Tags: Uhamiaji