Nafasi za Kazi Wilaya ya Nachingwea 2026

Filed in Ajira by on January 25, 2026

Hili hapa tangazo nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na tano (15) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao

Ajira Mpya zilizotangazwa Nachingwea

1. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi 5

2. Dereva Daraja la II – Nafasi 2

3. Mwandishi Mwendesha Ofisi – Nafasi 8

Download PDF hapa

Soma zaidi:

Nafasi za Kazi Wilaya ya Songea 2026

Filed in Ajira by on January 22, 2026

Hili hapa tangazo nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (5) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.

Ajira Mpya zilizotangazwa Songea

1. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi 5

Download PDF hapa

Soma zaidi:

Fani na Taaluma Zinazohitajika Kujitolea JKT 2026

Filed in Ajira by on January 20, 2026

Fani na Taaluma Zinazohitajika Kujitolea Kuomba Nafasi za Mafunzo kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa JKT 2026.

Kipaumbele kitatolewa kwa vijana wenye sifa zifuatazo:

Ngazi ya Diploma

  1. Diploma in Information Technology
  2. Diploma in Business Information Systems
  3. Diploma in Computer Science
  4. Diploma in Information and Communication Technology (ICT)
  5. Diploma in Cyber Security and Digital Forensics

Ngazi ya Shahada (Bachelor Degree)

  1. Bachelor of Science in Computer Science
  2. Bachelor of Science in Information Technology
  3. Bachelor of Science in Computer Engineering
  4. Bachelor of Science in Business Information Technology
  5. Bachelor of Science in Cyber Security and Digital Forensics
  6. Bachelor of Science in Computer Networks and Information Security Engineering

Aidha, vijana wenye vipaji vya michezo mbalimbali wanahimizwa pia kutuma maombi kupitia Mikoa yao.

Bonyeza hapa kudownload PDF

Soma zaidi:

Utaratibu wa Kuomba Mafunzo ya JKT 2026

Filed in Ajira by on January 20, 2026

Utaratibu wa Kuomba Nafasi za Mafunzo kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa JKT 2026

Utaratibu wa vijana kuomba na hatimaye kuchaguliwa kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea unaratibiwa na Ofisi za Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambako mwombaji anaishi.

Vijana wanashauriwa kuwasiliana na ofisi hizo kwa maelekezo ya kina kuhusu namna ya kuwasilisha maombi yao.

Bonyeza hapa kudownload PDF

Soma zaidi:

Nafasi za Kujiunga na Jeshi JKT 2026

Filed in Ajira by on January 20, 2026

Nafasi za Kujiunga na Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kwa kujitolea mwaka 2026

Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yanawatangazia Vijana wote wa Kitanzania Bara na Visiwani kuhusu fursa za kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea kwa mwaka 2026.

Tangazo hili limetolewa na Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, kwa lengo la kuwahamasisha vijana wenye sifa mbalimbali kuchangamkia nafasi hizi muhimu za uzalendo na maendeleo binafsi.

Utaratibu wa Kuomba

Utaratibu wa vijana kuomba na hatimaye kuchaguliwa kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea unaratibiwa na Ofisi za Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambako mwombaji anaishi.

Vijana wanashauriwa kuwasiliana na ofisi hizo kwa maelekezo ya kina kuhusu namna ya kuwasilisha maombi yao.

Fani na Taaluma Zinazohitajika

Kipaumbele kitatolewa kwa vijana wenye sifa zifuatazo:

Ngazi ya Diploma

  • Diploma in Information Technology
  • Diploma in Business Information Systems
  • Diploma in Computer Science
  • Diploma in Information and Communication Technology (ICT)
  • Diploma in Cyber Security and Digital Forensics

Ngazi ya Shahada (Bachelor Degree)

  • Bachelor of Science in Computer Science
  • Bachelor of Science in Information Technology
  • Bachelor of Science in Computer Engineering
  • Bachelor of Science in Business Information Technology
  • Bachelor of Science in Cyber Security and Digital Forensics
  • Bachelor of Science in Computer Networks and Information Security Engineering

Aidha, vijana wenye vipaji vya michezo mbalimbali wanahimizwa pia kutuma maombi kupitia Mikoa yao.

Ratiba ya Usaili na Mafunzo

  • Usaili wa vijana wanaoomba kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea utaanza tarehe 26 Januari 2026 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.
  • Vijana watakaofaulu usaili watatakiwa kuripoti Makambi ya JKT kuanzia tarehe 27 Februari 2026 hadi 04 Machi 2026.

Fursa Baada ya Mafunzo

Jeshi la Kujenga Taifa linapenda kuwatangazia vijana kuwa:

  • Mafunzo ya JKT hayatoi ajira ya moja kwa moja,
  • Hata hivyo, hutoa msingi muhimu wa kujiajiri,
  • Husaidia kupata fursa za ajira katika Asasi za Ulinzi na Usalama, Mashirika ya Serikali, pamoja na Sekta binafsi,
  • Mafunzo haya huwajengea vijana nidhamu, uzalendo, umoja wa kitaifa, stadi za kazi, stadi za maisha na utayari wa kushiriki katika shughuli za kujenga na kulinda Taifa.

Taarifa Zaidi

Sifa kamili za mwombaji pamoja na maelekezo ya kina yanapatikana kwenye Tovuti rasmi ya JKT www.jkt.mil.tz

Bonyeza hapa kudownload PDF

Hitimisho

Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, anawahimiza vijana wote wanaokidhi vigezo kujitokeza kwa wingi kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea ili kujenga uzalendo, umoja wa kitaifa na kuchangia maendeleo ya Taifa letu.

Soma zaidi:

Nafasi za Kazi Wilaya ya Buchosa 15,01,2026

Filed in Ajira by on January 17, 2026

Hili hapa tangazo la Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Buchosa anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (08) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.

Download PDF hapa

Soma zaidi:

Nafasi za Kazi Wilaya ya Kilolo 8

Filed in Ajira by on January 15, 2026

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuomba nafasi (08) za kazi baada ya kupokea kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.

Ajira Mpya zilizotangazwa Kilolo

1. Dereva Daraja la II – Nafasi 8

Soma zaidi:

Jinsi ya Kutuma maombi Handeni

Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:

Mkurugenzi Mtendaji (W),
Halmashauri ya Wilaya Kilolo,
S.L.P. 2324,
KILOLO.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 22 Januari, 2026.

Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.

Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).

Bonyeza hapa kudownload PDF

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.

Rejea:

Ajira Mpya 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026

Filed in Ajira by on January 14, 2026

Ajira Mpya 1,500 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) walimu wa sekondari kada ya walimu.

Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea katika Shule za Sekondari zilizo chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Kupitia mradi huu, OWM-TAMISEMI inatangaza nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea kwa Shule za Sekondari zenye uhitaji mkubwa, kwa kuzingatia Utaratibu wa Upangaji wa Walimu wa Shule za Sekondari (Secondary Teacher Allocation Protocol – S-TAP).

Wigo wa Nafasi Zinazotangazwa

Nafasi hizi zinalenga walimu wenye sifa katika maeneo yafuatayo:

  • Sayansi na Teknolojia (STEM)
  • Masomo ya Amali (Vocational Subjects)
  • Masomo ya Biashara (Business Studies)

Watanzania wenye sifa wanakaribishwa kuwasilisha maombi ya nafasi hizi elfu moja na mia tano (1,500) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.

Majukumu ya Jumla ya Mwalimu wa Kujitolea

Mwalimu wa Kujitolea atawajibika kutekeleza majukumu yafuatayo kwa mujibu wa miongozo ya elimu:

  1. Maandalizi ya Kitaaluma
    • Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa.
  2. Zana za Ufundishaji na Ujifunzaji
    • Kutengeneza na kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia kwa kuzingatia mitaala husika.
  3. Ufundishaji na Tathmini
    • Kufundisha, kufanya tathmini za wanafunzi na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya kitaaluma.
  4. Usimamizi wa Mahudhurio
    • Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi shuleni na darasani.
  5. Malezi na Ustawi wa Wanafunzi
    • Kusimamia malezi ya wanafunzi kiakili, kimwili na kiroho, pamoja na kutoa ushauri nasaha na unasihi.
  6. Ushauri wa Kitaalamu
    • Kutoa ushauri wa kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya elimu shuleni.
  7. Usimamizi wa Mali za Shule
    • Kusimamia na kutunza vifaa na mali za shule kwa uadilifu na uwajibikaji.
  8. Majukumu Mengine ya Shule
    • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na mahitaji na majukumu ya shule.

Bonyeza hapa kupakua PDF

Soma zaidi:

Nafasi za Kazi Manispaa ya Tabora 2026

Filed in Ajira by on January 14, 2026

Hili hapa tangazo la ajira mpya au nafasi za kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (05) katika Manispaa hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:-

Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo

1. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi 5

Soma zaidi:

Jinsi ya Kutuma maombi Handeni

Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:

Mkurugenzi wa Manispaa,
Manispaa ya Tabora,
4 Barabara ya Kiwanja cha Ndege,
S.L.P 174,
45182 TABORA

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 22 Januari, 2026.

Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.

Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).

Bonyeza hapa kudownload PDF

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.

Rejea:

Nafasi za Kazi MDAs & LGAs 912

Filed in Ajira by on January 14, 2026

Hili hapa tangazo la ajira mpya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 912 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili;

Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo

S/NJina La Tangazo La KaziIdadi Ya NafasiMwajiri
1Mwalimu Daraja La III C (Hisabati)709MDAs Na LGAs
2Mwalimu Daraja La III C (Fizikia)201MDAs Na LGAs
3Mlezi Wa Watoto Msaidizi2MDAs Na LGAs

Jumla Ya Nafasi Zote: 912

Soma zaidi:

Nukuu Ya Kipekee:
“Uwekezaji Katika Elimu Na Malezi Ni Uwekezaji Wa Moja Kwa Moja Katika Mustakabali Wa Taifa.”

Jinsi ya Kutuma maombi Handeni

Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:

KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
S. L. P. 2320,
Mtaa wa Mahakama, Tambukareli,
DODOMA.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 28 Januari, 2026.

Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.

Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).

Bonyeza hapa kudownload PDF

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.