Hili hapa tangazo nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na tano (15) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao
1. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi 5
2. Dereva Daraja la II – Nafasi 2
3. Mwandishi Mwendesha Ofisi – Nafasi 8
Soma zaidi:
Hili hapa tangazo nafasi za kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (5) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.
1. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi 5
Soma zaidi:
Fani na Taaluma Zinazohitajika Kujitolea Kuomba Nafasi za Mafunzo kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa JKT 2026.
Kipaumbele kitatolewa kwa vijana wenye sifa zifuatazo:
Aidha, vijana wenye vipaji vya michezo mbalimbali wanahimizwa pia kutuma maombi kupitia Mikoa yao.
Soma zaidi:
Utaratibu wa Kuomba Nafasi za Mafunzo kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa JKT 2026
Utaratibu wa vijana kuomba na hatimaye kuchaguliwa kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea unaratibiwa na Ofisi za Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambako mwombaji anaishi.
Vijana wanashauriwa kuwasiliana na ofisi hizo kwa maelekezo ya kina kuhusu namna ya kuwasilisha maombi yao.
Soma zaidi:
Nafasi za Kujiunga na Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kwa kujitolea mwaka 2026
Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yanawatangazia Vijana wote wa Kitanzania Bara na Visiwani kuhusu fursa za kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea kwa mwaka 2026.
Tangazo hili limetolewa na Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, kwa lengo la kuwahamasisha vijana wenye sifa mbalimbali kuchangamkia nafasi hizi muhimu za uzalendo na maendeleo binafsi.
Utaratibu wa vijana kuomba na hatimaye kuchaguliwa kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea unaratibiwa na Ofisi za Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambako mwombaji anaishi.
Vijana wanashauriwa kuwasiliana na ofisi hizo kwa maelekezo ya kina kuhusu namna ya kuwasilisha maombi yao.
Kipaumbele kitatolewa kwa vijana wenye sifa zifuatazo:
Aidha, vijana wenye vipaji vya michezo mbalimbali wanahimizwa pia kutuma maombi kupitia Mikoa yao.
Jeshi la Kujenga Taifa linapenda kuwatangazia vijana kuwa:
Sifa kamili za mwombaji pamoja na maelekezo ya kina yanapatikana kwenye Tovuti rasmi ya JKT www.jkt.mil.tz
Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, anawahimiza vijana wote wanaokidhi vigezo kujitokeza kwa wingi kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea ili kujenga uzalendo, umoja wa kitaifa na kuchangia maendeleo ya Taifa letu.
Soma zaidi:
Hili hapa tangazo la Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Buchosa anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi nane (08) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.
Soma zaidi:
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuomba nafasi (08) za kazi baada ya kupokea kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao.
1. Dereva Daraja la II – Nafasi 8
Soma zaidi:
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
Mkurugenzi Mtendaji (W),
Halmashauri ya Wilaya Kilolo,
S.L.P. 2324,
KILOLO.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 22 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Rejea:
Ajira Mpya 1,500 za Ualimu wa Kujitolea 2026 – OWM-TAMISEMI (Mradi wa GPE-TSP) walimu wa sekondari kada ya walimu.
Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) kupitia Mradi wa Kuboresha Kada ya Ualimu (Global Partnership for Education – Teacher Support Programme, GPE-TSP) inatekeleza afua mbalimbali za kuimarisha ubora wa elimu nchini. Miongoni mwa afua hizo ni kuratibu upatikanaji wa Walimu wa Kujitolea katika Shule za Sekondari zilizo chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kupitia mradi huu, OWM-TAMISEMI inatangaza nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea kwa Shule za Sekondari zenye uhitaji mkubwa, kwa kuzingatia Utaratibu wa Upangaji wa Walimu wa Shule za Sekondari (Secondary Teacher Allocation Protocol – S-TAP).
Nafasi hizi zinalenga walimu wenye sifa katika maeneo yafuatayo:
Watanzania wenye sifa wanakaribishwa kuwasilisha maombi ya nafasi hizi elfu moja na mia tano (1,500) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
Mwalimu wa Kujitolea atawajibika kutekeleza majukumu yafuatayo kwa mujibu wa miongozo ya elimu:
Soma zaidi:
Hili hapa tangazo la ajira mpya au nafasi za kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi tano (05) katika Manispaa hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:-
1. Msaidizi wa Kumbukumbu – Nafasi 5
Soma zaidi:
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
Mkurugenzi wa Manispaa,
Manispaa ya Tabora,
4 Barabara ya Kiwanja cha Ndege,
S.L.P 174,
45182 TABORA
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 22 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Rejea:
Hili hapa tangazo la ajira mpya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 912 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili;
| S/N | Jina La Tangazo La Kazi | Idadi Ya Nafasi | Mwajiri |
|---|---|---|---|
| 1 | Mwalimu Daraja La III C (Hisabati) | 709 | MDAs Na LGAs |
| 2 | Mwalimu Daraja La III C (Fizikia) | 201 | MDAs Na LGAs |
| 3 | Mlezi Wa Watoto Msaidizi | 2 | MDAs Na LGAs |
Jumla Ya Nafasi Zote: 912
Soma zaidi:
Nukuu Ya Kipekee:
“Uwekezaji Katika Elimu Na Malezi Ni Uwekezaji Wa Moja Kwa Moja Katika Mustakabali Wa Taifa.”
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
S. L. P. 2320,
Mtaa wa Mahakama, Tambukareli,
DODOMA.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 28 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.