Utaratibu wa Kuomba Mafunzo ya JKT 2026

Filed in Ajira by on January 20, 2026

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Utaratibu wa Kuomba Nafasi za Mafunzo kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa JKT 2026

Utaratibu wa vijana kuomba na hatimaye kuchaguliwa kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kujitolea unaratibiwa na Ofisi za Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambako mwombaji anaishi.

Vijana wanashauriwa kuwasiliana na ofisi hizo kwa maelekezo ya kina kuhusu namna ya kuwasilisha maombi yao.

Bonyeza hapa kudownload PDF

Soma zaidi:

Tags:

Comments are closed.