Nafasi za Kazi MDAs & LGAs 912
Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.
Hili hapa tangazo la ajira mpya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 912 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili;
Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo
| S/N | Jina La Tangazo La Kazi | Idadi Ya Nafasi | Mwajiri |
|---|---|---|---|
| 1 | Mwalimu Daraja La III C (Hisabati) | 709 | MDAs Na LGAs |
| 2 | Mwalimu Daraja La III C (Fizikia) | 201 | MDAs Na LGAs |
| 3 | Mlezi Wa Watoto Msaidizi | 2 | MDAs Na LGAs |
Jumla Ya Nafasi Zote: 912
Soma zaidi:
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Biolojia (Biology) 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Kemia (Chemistry) 2026
- Sifa za Mwalimu wa kujitolea wa somo la Fizikia (Physics)
- Nafasi 1,500 za Ualimu wa Kujitolea TAMISEMI 2026
Nukuu Ya Kipekee:
“Uwekezaji Katika Elimu Na Malezi Ni Uwekezaji Wa Moja Kwa Moja Katika Mustakabali Wa Taifa.”
Jinsi ya Kutuma maombi Handeni
Barua ya maombi iliyosainiwa iandikwe kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ielekezwe kwa:
KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
S. L. P. 2320,
Mtaa wa Mahakama, Tambukareli,
DODOMA.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 28 Januari, 2026.
Waombaji watakaoteuliwa katika orodha ya awali (shortlist) pekee ndio watakaopata taarifa kuhusu tarehe ya usaili.
Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi au taarifa zisizo za kweli utachukuliwa kama kosa la kisheria na hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhusika.
Maombi yote yawasilishwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal) kwa kutumia anuani ifuatayo:
http://portal.ajira.go.tz
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya PSRS kwa kubofya sehemu ya ‘Recruitment Portal’).
Maombi yatakayowasilishwa kwa njia nyingine yoyote tofauti na mfumo uliobainishwa hayatazingatiwa.
Tags: MDAs & LGAs