Tag: Bunge
Walioitwa Kazini Bunge la Tanzania 2025
Walioitwa Kazini Bunge la Tanzania 2025 Taarifa ya Kuripoti Kazini – Ofisi ya Bunge Dodoma (Ajira 2026) Waombaji Kazi Waliofaulu Usaili wa Utumishi. Katibu wa Bunge anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali katika Utumishi wa Bunge waliotajwa katika tangazo hili kwamba walifaulu kushinda waombaji wenzao kwenye usaili uliofanyika tarehe 20 hadi 23 Disemba, 2025 […]
Bunge la Tanzania
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni chombo kikuu cha kutunga sheria nchini na mojawapo ya mihimili mitatu ya dola. Bunge lina jukumu la kutunga sheria, kuisimamia na kuishauri Serikali, pamoja na kuwakilisha wananchi kwa maslahi ya taifa. Historia ya Bunge Bunge la Tanzania lilianzishwa baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964. […]